Climb the mountains
Chelsea wamawapiku Man united kumsajili winga wa Barcelona Pedro kwa Ada ya paundi Million 30, Winga huyo anatarajiwa kuongeza nguvu kwenye kikosi cha Jose baada ya kuanza vibaya msimu huu Pedro ataungana na mchezaji mwnzake wa zamani wa barcelona Cesc Fabregas pia ataungana na muhispania mwenzake Azpilicueta

Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment