Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]


Nyota wa Manchester City amesema kua Chelsea wamekua wakimpendelea Eden Hazard kwani yeye hakupewa nafasi ya kuonyesha uwezo wake kama alivyokua akipewa Eden Hazard,De Bruyne alisajiliwa na Chelsea kutoka klabu ya Genk kwa ada ya paundi milioni 18,Jose Mourinho aliamua kumuuza Kevin De Bruyne miezi sita tuu baada ya kurudi darajani alisema kua nyota huyo hataki kubaki Chelsea kuipigania nafasi nafasi yake.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib