1.Pep Guardiola.
Inafahamika kua Roman Abramovich mmiliki wa klabu ya Chelsea ni shabiki mkubwa wa Pep Guardiola, sababu ya mpira wake mzuri wa kumiliki mpira na kushambulia, ila itakua ni kazi ngumu kumtoa Pep Munich
2.Carlo Ancelotti
Kama Carlo atatua Stamford Bridge basi atakua amerudi darajani kwa mara ya pili . Muitaliano huyo kwa sasa hana timu baada ya kuachaana na klabu ya real madrid
3.Diego Simeone
Kocha huyo wa Atletico Madrid anapewa nafasi kubwa pia kuchukua kazi darajani
4.John Terry
Ndio John Terry ,Nahodha huyo wa Chelsea anaweza kuokota embe chini ya mnazi iwapo tajari wa Chelsea ataamua kumpa John timu mpaka mwisho wa msimu
5.Antonio Conte
6.Gus Poyet


No comments:
Post a Comment