Habari zinasema klabu ya Chelsea yenye makazi yake jijini London Uingereza imefikia makubaliano na klabu ya Shakhtar Donestk kumsajili mshambuliaji wa Shakhtar Alex Teixeira kwa dau lenye dhamani ya euro millioni 30 ifikapo mwezi january katika dirisha dogo la usajili,kama usajili huo utakamilika basi unaweza kua ni usajili wa kwanza wa kocha mholanzi Hiddink tangu arudi Chelsea japo mchezaji huyo hataweza kucheza mechi za UEFA na Chelsea kwa kua ameshashiriki mashindano hayo na Shakhtar.
Climb the mountains
Habari zinasema klabu ya Chelsea yenye makazi yake jijini London Uingereza imefikia makubaliano na klabu ya Shakhtar Donestk kumsajili mshambuliaji wa Shakhtar Alex Teixeira kwa dau lenye dhamani ya euro millioni 30 ifikapo mwezi january katika dirisha dogo la usajili,kama usajili huo utakamilika basi unaweza kua ni usajili wa kwanza wa kocha mholanzi Hiddink tangu arudi Chelsea japo mchezaji huyo hataweza kucheza mechi za UEFA na Chelsea kwa kua ameshashiriki mashindano hayo na Shakhtar.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment