Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaChelsea carsDavid LuizDeadline day

Hawa ndo wachezaji Chelsea inaoweza kuwasajili masaa sita kabla dirisha la usajili halijafungwa leo.

1.David Luiz

Klabu ya Chelsea bado inahangaika kupata beki wa kati atakaesaidiana na John Terry pamoja na Gary Cahill na habari zinasema Luiz yuko njiani kuelekea Uingereza kukamilisha usajili huo.
2.Aymen Abdennour

Inasemekana Chelsea wanamtaka Abdennour kwa mkopo pia kukiwa na kipengere cha kumnunua moja kwa moja msimu ukiisha.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib