Klabu ya Chelsea ilitangaza kukamilisha usajili wa Radamel Falcao kwa mkopo wa mwaka moja kutoka klabu ya Monaco ya nchini Ufaransa ,Mshambuliaji huyo wa Timu ya taifa ya Colombia atalejea Uingereza kwa mara ya pili safari hii akiwa na matumaini ya kufanya vizuri baada ya msimu uliopita kwenda vibaya kwake , Falcao atakutana na kibarua cha kutetea taji la uingereza EPL libaki Chelsea pamoja na kuisaidia Chelsea kufanya vizuri katika Kombe a Ulaya yani UEFA
Chelsea Fans tupo Facebook like page yetu hapa Bonyeza Hapa
Tupo na Youtube Pia subscribe kwenye channel yetu hapa Bonyeza Hapa


No comments:
Post a Comment