Tetesi za usajili zinasema matajiri wa London wanatarajiwa kukamilisha usajili wa beki wa kushoto Augsburg kuziba pengo la Filipe Luis aliye rejea katika klabu yake ya zamani ya Atletico Madrid ya hispania lakini wanasema kwamba usajili wa kinda huyo wa miaka 21 bado haujakamilika,kocha Jose Mourihno amesema ni mchezaji wa Augsburg siwezi kumuongelea kwa sasa ila nakili ni kweli tumejaribu kumsajili, Jose aligoma kuongelea Usajili wa mlinzi wa kati wa Everton John Stone baada ya dau lao la pili kukataliwa ila wanamatumaini ya kinda huyo kuomba mwenyewe kuondoka.
Climb the mountains
ChelseaFilipe LuisJohn StonesJose MourihnoRahman BabaTanzania
Chelsea Kumsajili Rahman Baba siku chache zijazo.
Tetesi za usajili zinasema matajiri wa London wanatarajiwa kukamilisha usajili wa beki wa kushoto Augsburg kuziba pengo la Filipe Luis aliye rejea katika klabu yake ya zamani ya Atletico Madrid ya hispania lakini wanasema kwamba usajili wa kinda huyo wa miaka 21 bado haujakamilika,kocha Jose Mourihno amesema ni mchezaji wa Augsburg siwezi kumuongelea kwa sasa ila nakili ni kweli tumejaribu kumsajili, Jose aligoma kuongelea Usajili wa mlinzi wa kati wa Everton John Stone baada ya dau lao la pili kukataliwa ila wanamatumaini ya kinda huyo kuomba mwenyewe kuondoka.
Tags: Chelsea
, Filipe Luis
, John Stones
, Jose Mourihno
, Rahman Baba
, Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment