Climb the mountains
Winga wa kimataifa wa ubeligiji na Chelsea Eden Hazard amemwambia kocha ajaye wa Chelsea Antonio Conte kwamba angependa kubaki Chelsea msimu ujao. Hazard amekua na msimu mbaya msimu huu kwa kutokufunga goli hata moja kwenye ligi.

Tags: Chelsea
, Eden Hazard
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment