Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Alvaro MorataChelseaChelsea Summer transferreal madridTransfer window

Chelsea wajiunga kwenye mbio ya kumsajili Alvaro Morata.

Klabu ya Chelsea imejiunga kwenye mbio za kusaka saini ya Alvaro Morata mshambuliaji huyo machachali wa Juventus amekua akifanya vyema tangu ajiunge na miamba hao wa Italia akitokea Real Madrid hata hivyo klabu yake ya zamani inapewa kipaumbele cha kumsajili tena kama wakitaka kutokana na mkataba waliosaini wakati wa kumuuza unaowapa nafasi ya kwanza ya kumnunua tena.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib