Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaEmanuel MammanaTanzaniaTetesi za usajili

Tetesi za usajili:Hichi ndicho kiasi cha pesa Chelsea wanachotakiwa kulipa kumsajili beki wa Argentina.

Klabu ya River Plate ya Argentina imewambia Chelsea walipe £8 million kama wanataka kumsajili beki wao wa kati, hata hivo Chelsea watapata ushindani kutoka klabu za Italy Inter Milan na Fiorentina ambao nao wanamfuatilia kwa karibu beki huyo wa kati.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib