Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

adidasair maxChelseaChelsea New Kitskitsnike

Chelsea wapata dili jipya kutoka Nike

Siku chache baada ya klabu ya Chelsea kutangaza kwamba watasitisha mkataba na kampuni ya Adidas habari ndani ya Chelsea zinasema miamba hao wa uingereza wamepata dili lingine kutoka Nike la £60 million ambayo ni mara mbili ya Adidas waliokua wakiipa Chelsea £30 millioni, kwa mkataba huo Chelsea itakua nyuma ya Manchester united ambao wanapata £75 millioni ,mara mbili ya Arsenal wanaopata ufadhili kutoka puma na mara tatu zaidi ya Manchester City. Hii sio biashara mbaya kwa Chelsea kwani iliingia gharama ya £40 million kuvunja mkataba na Adidas.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib