Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaConteFabregasItaly

Cesc Fabregas anataka awatoe Italy kwenye mashindano ya Euro ili Conte awahi kuanza kazi Chelsea.

Kiungo wa Chelsea na Hispania ameweka wazi kua angependa timu yake ya taifa wawafunge Italy timu inayofundishwa na Antonio Conte ambaye ataanza kuifundisha klabu ya Chelsea baada ya mashindano ya EURO kuisha ila anaweza kuwahi ikiwa timu yake ya Italy itatolewa mapema kitu ambacho Fabregas yupo tayari kukufanya, Fabregas alisema aliongea na Conte akamueleza jinsi alivyopanga kumtumia katika kikosi chake na alimueleza mipango yake kuhusu timu kwa ujumla.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib