Climb the mountains
BelgiumChelseaEuro 2016Football Manager 2017Mitch BatshuayiOlympic MarseilleTanzaniaTetesi za usajiliTransfer NewsWonder kids
Forward wa Olyimpic Marseille anajianda kufanya vipimo Chelsea baada ya dau la £ milioni 33.2 kukubaliwa.
Fowadi wa Olympic Marseille na timu ya taifa ya Ubelgiji Mitch Batshuayi anategemewa kufanya vipimo vya afya siku chache zijazo baada ya dau la € milioni 40(£milioni 33.2) kutoka klabu ya Chelsea kukubaliwa, Batshuayi anatajwa moja ya mafowadi chipukizi wanaofanya vizuri baada ya kufanikiwa kupachika magoli 17 kwenye ligue 1 msimu uliopita.
Tags: Belgium
, Chelsea
, Euro 2016
, Football Manager 2017
, Mitch Batshuayi
, Olympic Marseille
, Tanzania
, Tetesi za usajili
, Transfer News
, Wonder kids
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment