Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Klabu ya Chelsea imefanya mazungumzo na kiungo wa Leicester City ili kumshawishi mchezaji huyo kujiunga nao, Chelsea na Kante wemekutana kwenye vikao kadhaa, hata hivyo inaelezwa Kante amesema kwa sasa anachokifikiria kwanza ni mashindano ya Euro yanayofanyika Ufaransa nchi yake wakiwa ndo wenyeji wa mashindno hivyo ataendelea na mazungunzo baada ya Euro kuisha, Chelsea wako sokoni kutafuta kiungo ili kuimalisha safu yao ya viungo na imekua ikawatazama wachezaji kadhaa kama Radja Nainglong na Paul Pogba.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib