Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Atletico MadridChelseaDiego CostaTetesi za usajili

Diego Simone kubaki Atletico Madrid iwapo uongozi utamrejesaha Diego Costa

Muda mfupi baada ya Atletico kufungwa kwenye fainali za Uefa na Real Madrid kocha wa Atletico ameweka wazi atabaki klabuni hapo msimi ujao kama uongozi uta msajili tena mpachika mabao wao wa zamani Diego Costa. Costa alijiunga na klabu ya Chelsea mwaka 2014 na kuisaidia klabu hiyo kuchukua ubingwa wa uingereza msimu wa 2014/2015. Hata hivyo haitakua rahisi kwa Chelsea kumruhusu Diego Costa kuondoka kwa bei rahisi kwani watategemea kupata fedha ya kutosha ili kukamilisha usajili wa nyota wanaowafukuzia kama Alvaro Morata, Gonzalo Higuani, Paul Pogba na Radja.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib