Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaFernbahceLoic RemyTurkey

Klabu ya Uturuki yamtaka Loic Remy

Klabu ya Fernabahce yenye makazi yake nchini uturuki wanafikiria kumsajili fowadi wa Chelsea Loic Remy kwa ada ya £7 milioni, Conte anampango wa kununua washambiliaji wapya na anafikiria kuwasajili Lukaku na Alvaro Morata.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib