Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Klabu ya West Ham wamewapiga mkwara Chelsea kua mchezaji wao mwenye ufundi mwingi uwanjani na hodari wa wa mipira ya adhabu Dimitri Payet (foul) hauzwi kwa dau lolote ile, maskauti wa Chelsea wamemshawishi Conte kumsajili Payet wakiamini mchezaji huyo ataleta chachu ya mpira wa kushambulia kama atatua Chelsea. West Ham walimnunua Payet kwa ada ya Pound Million 10.7 kutoka klabu ya Marseille ya ufaransa.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib