Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]


Baada ya kuisaidia timu yake ya taifa ya Ureno kinyakua kombe la EURO Joao Mario ameingia katika rada ya mascout wa Chelsea, inasemekana Chelsea wanafikiria kumsajili kiungo huyo wa kati ili kuimarisha safu yake ya kiungo iliyolegalega, pia Chelsea wamerudisha matumaini ya kumsajili winga Arda Turan baada ya kumkosa mara ya kwanza kwani kiungo huyo alichagua kujiunga na Barcelona na kuwaacha Chelsea kwenye mataa ila kutokana na kutoweza kuonyesha kiwango kizuri Barcelona imemuweka kwenye wakati mgumu kwani tayari Barca wameshasajili mchezaji anayecheza namba yake.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib