Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Antonio ConteCheleaConte in londonConte to cobhamkocha mpya wa chelsea

Conte tayari ametua London aelekea moja kwa moja kwenye uwanja wa mazoezi wa Chelsea(Cobham)



Kocha muitaliano anayeanza kibarua chake kipya cha kuinoa klabu ya Chelsea tayari amekwisha wasili London mji ambao Chelsea ndo makazi yake na tayari ameelekea moja kwa moja kwenye uwanja wa mazoezi ambapo atafanya mkutano na waandishi wa habari na kukutana na wachezaji pamoja na wafanyakazi wengine wa Chelsea.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib