Climb the mountains
Cesc FabregasCheleafabregas to real madrid rumorsJuventusMonacoreal madrid
Baada ya Chelsea kujaribu kumuuza, Cesc Fabregas aamua hatma yake.
Kiungo wa Chelsea Cesc Fabregas ambaye klabu ilijaribu kumuuza kwenda klabu nne barani ulaya amesema yeye angependa kubaki darajani na kugombea nafasi klabuni hapo kwani anajisikia furaha, kwa upande wake kocha Antonio Conte alisema kua kitendo cha Fabregas kuachwa kwenye kikosi cha kwanza kinaweza kumtokea mchezaji yoyte kwani msimu huu ni wa kupigana kufa kupona kuhakikisha wanafanya vizuri hivyo mchezaji atayekua katika hali nzuri kimchezo ndie ataye pata namba,mapema wiki hii Chelsea walijaribu kumuuza Fabregas kwa klabu kama Madrid,Juventus,PSG na Monaco.
Tags: Cesc Fabregas
, Chelea
, fabregas to real madrid rumors
, Juventus
, Monaco
, real madrid
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment