Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaMarina Granovskaianikenike dealTrevo EdwardsUsajili

Chelsea na Nike watangaza kuingia mkataba,Chelsea watakua klabu ya pili duniani kupokea fedha nyingi kutoka kwa mdhamini wa jezi.


Klabu ya Chelsea leo wametangaza kuingia mkataba wenye dhamani ya paundi milioni 60 na kampuni ya Nike,mkataba huo una maanisha kua Nike ndo watakua wakitengeneza Jezi zote za klabu ya Chelsea ikijumlisha kikosi cha kwanza,timu za watoto na timu ya wanawake. Akitangaza taarifa hiyo mkurugenzi wa Chelsea Marina Granovskaia alisema hii ni biashara nzuri kati yetu na kampuni ya Nike kwani Nike ni kampuni inayojulikana duniani kote kwa ubunifu wa hali ya juu katika kuttengeneza bidhaa zao duniani kote.Naye rais wa kampuni ya Nike Trevo Edwards alisema Chelsea ni klabu kubwa iliyopo katika level za kimataifa yenye utajiri mkubwa wa mashabiki.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib