Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Ac MilanChelseaMitch BatshuayiMitchy Batshuayisan sirostamford bridge

AC Milan wanamfukuzia mchezaji wa Chelsea aliyecheza dakika 54 tuu tangu asajiliwe.


Klabu ya AC Milan yenye makazi yake San Siro nchini Italia wanafuatilia kwa karibu maisha ya mshambuliaji mpya wa Chelsea Mitch Batshuayi ambaye alisajiliwa na Chelsea miezi michache iliyopita baada ya kushindwa kupata namba mbele ya mshambuliaji Diego Costa. Batshuayi ameonyesha kufurahia maisha ndani ya Chelsea kwani amekua mchangamfu sana hasa kwenye mitandao ya kijamii.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib