Climb the mountains
Ceser AzpilicuetaChampions LeagueChelsea players night outEden HazardMitch BatshuayiThibautUEFA
Wachezaji wa Chelsea wautumia usiku wa mechi za mabingwa ulaya kula bata .
Kutokana na kutoshiriki mashindano ya ligi ya mabingwa ulaya msimu huu wachezaji wa Chelsea waliamua kutoka out na kwenda kula bata kama sehemu ya kuweka vizuri morali ya kikosi cha kwanza,Chelsea wamekua kwenye kiwango kizuri mwezi wa 10 wakiweza kushinda mechi zote nne bila kuruhusu goli lolote la kufungwa na hivyo kuifanya kua timu pekee ambayo haijaruhusu goli mwezi wa 10 katika ligi 5 bora barani ulaya.
Tags: Ceser Azpilicueta
, Champions League
, Chelsea players night out
, Eden Hazard
, Mitch Batshuayi
, Thibaut
, UEFA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment