Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

BurnleyChelseaFA CupJohn TerryLincolnWolverhampton

John Terry: Ushindi wa Lincoln dhidi ya Burnley ulitupa tahadhari kabla ya mechi.


Nahodha wa Chelsea John Terry ameweka wazi kua walipoona klabu ambayo haishiriki ligi yoyote imeitoa klabu ya ligi kuu kuliwashtua na kuwapa tahadhari kabla ya mchezo dhidi ya Wolverhampton.Klabu ya Lincoln iliitoa klabu ya Burnley ambayo iliing'ang'ania klabu ya Chelsea katika mechi yao ya mwisho kwenye ligi na kulazimisha suluhu hata hivyo Burnley walishindwa kutamba mbele ya klabu hiyo ya daraja la chini kabisa na kukubali kichapo cha goli moja na kutolewa kwenye mashindano.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib