Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Ceser AzpilicuetaChelseaCostaFranceN'golo KantePedroSpain

Baada ya mechi kati ya Ufaransa na Hispania kumalizika Costa,Azpilicueta na Pedro waamua kuondokea Ufaransa wakiongozana na Kante

Baada ya mechi za kimataifa kumalizika huku Hispania wakifanikiwa kumaliza kwa ushindi wa goli 2 kwa bila dhidi ya Ufaransa wachezaji wameanza kurejea katika klabu zao. Wachezaji wa Chelsea walioitwa kuichezea timu ya taifa ya Hispania Costa,Azpilicueta na Pedro waliamua kuondokea nchini Ufaransa na wakaongozana na mchezaji mwenzao wa Chelsea Kante kama inavyoonekana kwenye picha muda mfupi kabla hawajapanda ndege kurudi London.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib