Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

AFC BournemouthChelseadar es salaamEden HazardEplMarcos Alonso

Chelsea wawapiga Bournemouth 3-1 wazidi kuusogelea ubingwa.


Klabu ya Chelsea ilipiga hatua moja mbele kuusogelea ubingwa wa Uingereza baada ya kufanikiwa kuwalaza Bournemouth goli 3 kwa 1 katika uwanja wao wa nyumbani na kuendelea kuongoza ligi kwa pointi 7 huku wakiwa wakiwa wamebakisha mechi 7 tuu. Magoli ya Chelsea yalifungwa na Eden Hazard pamoja na Marcos Alonso huku goli moja likiwa ni la kujifunga ,timu zote zilikua zikicheza mchezo wa kutafuta magoli hivyo zilikua zikishambuliana kwa zamu. Katika Mchezo wa jana Eden Hazard alifunga goli lake la 14 msimu huu.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib