Climb the mountains
ChelseaEden HazardN'golo KantePFA Player of the yearPFA Player of the year 2017
Hatimaye yametimia na mwenyewe ni N'golo Kante.
Jana ulikua ni usiku ambao ulimaliza ubishani wa muda mrefu ambao kila moja alikua akimtaja mchezaji anayefaa kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2016/17 huku Eden Hazard N'golo Kante,Sanchez na Dele Alli wakitawala vinywa vya watu ila jana utatat ukamalizika baada mchezaji wa Chelsea N'golo Kante kuwapiku wachezaji wote aliokua akichuana nao akiwemo mchezaji anaye cheza nae Chelsea Eden Hazard. Tuzo hiyo kwa N'golo Kante haina upinzani kwani alichokifanya uwanjani kuanzia akiwa Leicester City mpaka Chelsea kila moja ameweza kukishuhudia kwa macho ni mchezaji anayejituma bila kuchoka..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment