Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Klabu mbili hasimu zote zenye makazi yake jijini London zinatakua kwenye Derby nyingine ya kugombania kupata sahihi ya mchezaji Henrikh Mkhitaryan.Henrikh Mkhitaryan amekua na msimu mzuri kwa kufunga magoli 23 na kutoa pasi za magoli 32 katika mechi 52 alizocheza. KamaHenrikh Mkhitaryan ataondoka basi itakua pigo kubwa kwa Borussia Dortmund kwani wameshawauza nyota wao wawili kama Matt Hummles na Gundogan.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib