Klabu ya Chelsea inaongoza mbio za kumsajili mshambuliaji wa Juventus Alvaro Morata kwa kua ndo klabu pekee iliyoanza mazungumzo kwa ajili ya kukamilisha au kupata nafasi ya kumsajili, ingawa Klabu yake ya zamani Real Madrid ina kipaumbele cha kumnunua tena kutokana na mkataba walioingia na Juventus wakati wakiwauzia(Buy Back Clause) hata hivyo Real Madrid hawana mpango wa kumtumia katika kikosi chao, wamepanga kumuuza tena pindi watapo mnunua ili kutengeneza faida kubwaClimb the mountains
Alvaro Moratabuy back clauseChelseaJuventusreal madridTransferUsajili
Chelsea waongoza mbio za kumsajili Alvaro Morata.
Klabu ya Chelsea inaongoza mbio za kumsajili mshambuliaji wa Juventus Alvaro Morata kwa kua ndo klabu pekee iliyoanza mazungumzo kwa ajili ya kukamilisha au kupata nafasi ya kumsajili, ingawa Klabu yake ya zamani Real Madrid ina kipaumbele cha kumnunua tena kutokana na mkataba walioingia na Juventus wakati wakiwauzia(Buy Back Clause) hata hivyo Real Madrid hawana mpango wa kumtumia katika kikosi chao, wamepanga kumuuza tena pindi watapo mnunua ili kutengeneza faida kubwa
Tags: Alvaro Morata
, buy back clause
, Chelsea
, Juventus
, real madrid
, Transfer
, Usajili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment