Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaEuro 2016football managerHiguaniTetesi za usajili

Chelsea yatenga £80 Million kuwasajili nyota wa Napoli na As Roma.

Klabu ya Chelsea imeanza kufanya jitihada za kuimarisha kikosi chake baada ya kua na msimu mbaya. Tetesi kutoka klabuni humo zinasema Chelsea wameweka paundi 80 million kuwasajili wachezaji Gonzalo Higuani wa Napoli na Radja wa As Roma, Chelsea wanafanya kila njia kuweza kupata mshambuliaji mwenye kiwango kizuri (World Class) ili kuweza kurudisha heshima iliyopotea Darajani 

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib