Climb the mountains
Antonio ConteChelseaManchester unitedMateoMateo DarmianTanzaniaTransfer NewsUsajili
Conte kumleta Chelsea beki wa Italy na Manchester United?
Kocha wa Italy Antonio Conte ambaye amekubali kuifundisha klabu ya Chelsea pindi atapomaliza majukumu yake na Italy katika mashindano ya EURO inasemekana anataka kumsajili full back wa Manchester United Mateo Darmian pindi atapotua Chelsea Conte anayesifika kwa Kujilinda na kushambulia kwa kushtukiza anaona Darmian ni moja ya wachezaji watao chochea timu ya Chelsea kufanya vizuri,Darmian alijiunga na Manchester United 2015 akitokea klabu ya Torino hana uhakika kama atakua kwenye mipango ya kocha mpya wa Chelsea Jose Mourihno na inasemekana yupo katika orodha ya wachezaji wataouzwa na United msimu huu.
Tags: Antonio Conte
, Chelsea
, Manchester united
, Mateo
, Mateo Darmian
, Tanzania
, Transfer News
, Usajili
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment