Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Alvaro MorataChelseareal madrid

Madrid wamsajili Morata. Wanapanga kumuuza tena kwa £60 milioni

Klabu ya Real Madrid imekamilisha usajili wa forward wao wa zamani Alvaro Morata kutoka Juventus kwa £ 24 milioni,Madrid walimuuza Morata Juventus lakini waliweka kipengele kwenye mkataba kinachowapa kipaumbele cha kwanza kumnunua hata hivyo Madrid tayari wamemuweka Morata sokoni na watamuuza £ 60 milioni ili kutengeneza faida tetesi zinasema Arsenal wamejitoa kwenye mbio za kumsajili hivyo kuwaacha Chelsea na Manchester United pekee.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib