Klabu ya Real Madrid yenye makazi yake nchini Hispania wanaandaa dau la paundi milioni 35 pamoja na mchezaji Alvaro Morata ili kumsajili winga matata wa Chelsea Eden Hazard inafahamika kua kocha wa Real Madrid Zinadine Zidane ni shabiki mkubwa wa Hazard, Hazard amefanya vizuri tangu ajiunge na Chelsea amefanikiwa kuchukua tuzo wa mchezaji bora wa Mwaka 2015/2016 pamoja na kuiwezesha klabu ya Chelsea kushinda makombe kadhaa. Pia Madrid wapo tayari kuwatoa James Rodriguez pamoja na Alvaro Morata kwenda Chelsea iwapo watampata Eden Hazard bila dau la fedha kuhusishwa.
Climb the mountains
Alvaro MorataBrexitBungeChelseaEden HazardEuroHabari za MichezoJames RodriguezMagufuliMilliard AyoObamareal madridSalim KikekeShaffih DaudaTanzaniaTetesi Za Usajili UlayaTrump
Real Madrid wanaanda dau la paundi milioni 35 + Alvaro Morata kuishawishi Chelsea kuwauzia Eden Hazard
Klabu ya Real Madrid yenye makazi yake nchini Hispania wanaandaa dau la paundi milioni 35 pamoja na mchezaji Alvaro Morata ili kumsajili winga matata wa Chelsea Eden Hazard inafahamika kua kocha wa Real Madrid Zinadine Zidane ni shabiki mkubwa wa Hazard, Hazard amefanya vizuri tangu ajiunge na Chelsea amefanikiwa kuchukua tuzo wa mchezaji bora wa Mwaka 2015/2016 pamoja na kuiwezesha klabu ya Chelsea kushinda makombe kadhaa. Pia Madrid wapo tayari kuwatoa James Rodriguez pamoja na Alvaro Morata kwenda Chelsea iwapo watampata Eden Hazard bila dau la fedha kuhusishwa.
Tags: Alvaro Morata
, Brexit
, Bunge
, Chelsea
, Eden Hazard
, Euro
, Habari za Michezo
, James Rodriguez
, Magufuli
, Milliard Ayo
, Obama
, real madrid
, Salim Kikeke
, Shaffih Dauda
, Tanzania
, Tetesi Za Usajili Ulaya
, Trump
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




No comments:
Post a Comment