Climb the mountains
CheleaKalidou KoulibalyNapoliTetesi za usajiliTransfer News
Beki wa Napoli aliyewahi kusema angependa kujiunga na Chelsea amesema anataka kuondoka.
Wakala wa beki wa Napoli Kalidou Koulibaly ameweka wazi kua mteja wake anataka kuondoka klabuni hapo huku Chelsea na Evertorn wakitajwa kumuwania,beki huyo aliwahi kuweka wazi kua angependa kujiunga na Chelsea,hata hivyo klabu ya Chelsea walituma ofa kadhaa kuomba kumsajili beki huyo lakini Napoli walizikataa. Kama Napoli wakifikiria kumuuza bila shaka Chelsea watajaribu bahati yao kwa mara nyingine maana walishaanza kutafuta mbadala wake.
Tags: Chelea
, Kalidou Koulibaly
, Napoli
, Tetesi za usajili
, Transfer News
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment