Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Kiungo wa timu ya taifa ya ufaransa na klabu ya Chelsea amechaguwa kuvaa jezi namba saba katika maisha yake ya Chelsea,anachukua namba hiyo iliyoachwa na Ramires aliyeihama klabu ya Chelsea mwezi wa kwanza kuenda kucheza soka nchini china, pia uongozi umesema Kante atajiunga na kikosi cha Chelsea kilichoko Marekani wiki hii kwa ajili ya maandalizi ya mechi Za kirafiki.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib