Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Klabu ya Chelsea wamefanikiwa kuelewana makubaliano binafsi ya mshahara na kiungo wa Zenit ambaye klabu yake inamuuza kwa paundi milioni 28,Witsel aliyekua anakaribia kutua Everton kabla ya Chelsea kuingilia kati na kumpa mkataba mnono kilichobaki ni Chelsea kuwalipa Zenit pesa yao.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib