Klabu ya Chelsea imekubali kumsajili kiungo N'golo Kante wa mabingwa wa Uingereza 2015/16 Leicester City kwa dau la paundi milioni 29,Kante amekua akihusishwa kuhamia Chelsea kabla mashindano ya Euro hayajaanza ila yeye alikiri kwamba atakua tayari kuongea mara baada ya mashindano hayo kuisha.Climb the mountains
chelsea tanzaniadar es salaamkilimanjaroLeicester CityN'golo KanteN'golo Kante to ChelseaTanzaniaTetesi za usajiliTransfer Newsutalii
Chelsea wakubali kumsajili Kante kwa dau la paundi milioni 29.1
Klabu ya Chelsea imekubali kumsajili kiungo N'golo Kante wa mabingwa wa Uingereza 2015/16 Leicester City kwa dau la paundi milioni 29,Kante amekua akihusishwa kuhamia Chelsea kabla mashindano ya Euro hayajaanza ila yeye alikiri kwamba atakua tayari kuongea mara baada ya mashindano hayo kuisha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)


No comments:
Post a Comment