Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ibizaLamborghini towedMitchy Batshuayi

Gari la Mshambuliaji mpya wa Chelsea lenye thamani ya milioni 500 lakamatwa Ibiza, imembidi kulipa faini ya (paund 330) laki tisa kulikomboa.


Mshambuliaji mpya wa Chelsea Mitchy Batshuayi alijikuta katika wakati mgumu baada ya Gari lake aina ya Lamborghini kukamatwa akiwa Ibiza baada ya kulipaki sehemu isiyo ruhusiwa.
 Michy Batshuayi speaks to police after he parked his Lamborghini under a tree in a park so it was in the shade
Mshambuliaji huyo anaye tumia muda wake kupumzika katika beach ya Ibiza aliliacha gari lake chini ya mti aliporudi alikuta askari wa barabarani wakinilipakia gari lake katika gari maalumu la kunasulia magari yanayopakiwa sehemu zisizo rasmi hata hivo baadaye alilipata gari lake baadae baada ya kulipa faini ya paundi 330 sawa na shilingi laki tisa za kitanzania

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib