Climb the mountains
Atletico MadridChelseaDiamond PlatinumDiego CostaHabari za MichezoHeliumTanzaniaTetesi za usajiliUsajiliWCB Wasafi
Diego Costa aiomba Chelsea imruhusu kuondoka.
Fowadi wa Chelsea ameiomba klabu hiyo imruhusu kuondoka kurudi timu yake ya zamani ya Atletico Madrid. Kocha wa Atletico Madrid Diego Simeone aliweka wazi kwamba anataka kumrudisha Costa katika kikosi chake na alisema hatabaki klabuni hapo kama uongozi hautamrudisha Costa Vicente Callejon, Chelsea ambao kwa sasa wanafanya usajili kuimarisha kikosi chao hasa safu ya ushambuliaji na kiungo. Imeelezwa Atletico wako tayari kutoa paundi milioni 40 ili kumsajili fowadi wao wa zamani.
Tags: Atletico Madrid
, Chelsea
, Diamond Platinum
, Diego Costa
, Habari za Michezo
, Helium
, Tanzania
, Tetesi za usajili
, Usajili
, WCB Wasafi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment