Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

N'golo Kante sio jina geni kwa wale tuliofuatilia ligi ya uingereza msimu uliopita moja ya wachezaji walio kua na mchango mkubwa kabisa katika kikosi cha Leicester na kuiwezesha kuchukua ubingwa wa ligi ya uingereza kwa mara ya kwanza na kuishangaza dunia, kiwango chake cha juu kilizifanya klabu kubwa nyingi za ulaya kuonyesha nia ya kumsajili,klabu kama Real Madrid, PSG,Arsenal, Manchester United pamoja na Chelsea, hata hivyo Mfaransa huyo ameweka wazi kua atapenda kujiunga na Chelsea msimu ujao.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib