Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaDonateMikel ObiNigeriaOlympic

Mikel Obi akifadhili kikosi cha Nigeria kinachoshiriki Olympic dola 30000(Tsh milioni 65190000.00)mara baada ya kuachwa na wafadhili.

Kiungo wa Chelsea na timu ya taifa ya Nigeria Mikel Obi ameingia katika majukumu baada ya kuamua kukipatia fedha kikosi cha wanamichezo wa Nigeria kinachoenda Olympic dola 30000 sawa na karibu milioni 600 za kitanzania, hiyo imekuja baada ya wafadhili kuacha kukipatia fedha kwa ajili ya posho na kusafiria kwenda Brazil, hatua hiyo imepongezwa na wadau wengi wa michezo nchini Nigeria wakiita ni kitendo cha kizalendo kwani ni kiasi kikubwa cha pesa.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib