Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ArgentinaBoca JuniorsCarols TevezChelseaEuropeManchester

Tevez: Chelsea wanataka kunisajili lakini ningependa kustaafu Boca Junior kama nilivyo ahidi.

Mshambuliaji wa Boca junior yenye makazi yake nchini Argentina Carlos Tevez ameweka wazi kua klabu ya Chelsea wanataka kumsajili ila amesema hayupo tayati kwani alikwisha ahidi kustaafu mpira katika klabu yake ya Boca Junior, Tevez amewahi kung'as akiwa na timu kama West Ham united,Manchester United, Manchester City pamoja na Juventus. Pia Tevez alisema Napoli ni moja ya klabu inayotaka kumsajili pia.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib