Climb the mountains
ChelseaConteJames Rodriguezreal madridUsajili wa ChelseaVideo za Chelsea
Chelsea wamuweka Cesc Fabregas sokoni wamuofa kwa miamba ya La Liga.
Klabu ya Chelsea imemuweka kiungo Cesc Fabregas sokoni na tayari wamesha muofa kwa klabu kama Real Madrid na Barcelona, hata hivyo kwa Barcelona imekua ngumy kwani tayari wameshamsajili Andre Gomes, Madrid wao tayari wana viungo wengi hivyo watalazimika kuuza baadhi ya viungo kabla ya kumnunua ila mawakala wa Cesc Fabregas wao waongea na klabu ya PSG ili imsajili mteja wao, pia klabu ya Juventus walikua wanahusishwa kumsajili Fabregas.
Tags: Chelsea
, Conte
, James Rodriguez
, real madrid
, Usajili wa Chelsea
, Video za Chelsea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment