Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

Klabu ya Chelsea inajaribu kumsajili Blaise Matuidi wa PSG kwa ada ya paundi milioni 43, Chelsea wanalenga kuimarisha safu ya kiungo na ulinzi kabla dirisha la usajili halijafugwa, Chelsea watapata ushindani mkubwa kutoka kwa klabu ya Juventus ambao wanafikiria kumrudisha kiungo huyo, Matuidi alifanikiwa kuifungia timu yake magoli 7 msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib