Imeripotiwa klabu ya Juventus wanamsaka kiungo wa Chelsea Nemanja Matic kwa udi na uvumba ili akazibe pengo lililoachwa na Paul Pogba n awapo tayari kumuongeza mshambuliaji wao zaza katika dili hilo. Chelsea ambao wanafanya kila jitihada kupata mshambuliaji mpya mwingine wanaweza kuona ofa hiyo ina manufaa kwao.Climb the mountains
ChelseaChelsea transfer newsChelsea transfer updateMaticTetesi za usajiliZaza
Juventus wanamtaka Matic kama mrithi wa Pogba wapo tayari kuwapa Chelsea fedha pamoja na Zaza.
Imeripotiwa klabu ya Juventus wanamsaka kiungo wa Chelsea Nemanja Matic kwa udi na uvumba ili akazibe pengo lililoachwa na Paul Pogba n awapo tayari kumuongeza mshambuliaji wao zaza katika dili hilo. Chelsea ambao wanafanya kila jitihada kupata mshambuliaji mpya mwingine wanaweza kuona ofa hiyo ina manufaa kwao.
Tags: Chelsea
, Chelsea transfer news
, Chelsea transfer update
, Matic
, Tetesi za usajili
, Zaza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment