Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaKalidou KoulibalyNapoli

Je Chelsea kumsajili Kalidou Koulibaly ndani ya masaa 72?

Wakala wa beki wa Napoli amesema hatma ya mteja wake itajulikana ndani ya siku 2 au tatu amesema kwa sasa hawezi kusema chochote ila ndani ya siku mbili au tatu atakua ameshatatua mzozo uliopo,nafahamika Kalidou Koulibaly anataka kuhama Napoli huku akiweka bayana kua angependa kujiunga na klabu ya Chelsea. Chelsea wamejaribu kumsajili mara tatu huku mara zote hizo ofa yao ikikataliwa ila kwa sasa wameongeza nguvu kwani wameona wana haja ya kuimarisha safu yao ya ulinzi.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib