Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaEvertoneLoic Remylukaku

Loic Remy kutumika kurahisisha usajili wa Lukaku.


Chelsea wapo tayari kuwapatia Everton pesa pamoja na mchezaji ili kuwashawishi kuwauzia mshambuliaji Romelu Lukaku, Lukaku aliuzwa na Chelsea miaka miwili iliyopita ameweza kufanya vizuri kitu kilichopelekea klabu mbali mbali kumtaka ila kwa sasa Chelsea wapo mstari wa mbele na inaelezwa Lukaku anataka kurudi.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib