Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]


Kocha wa zamani wa Chelsea Jose Mourihno amesema kua bosi wa Chelsea Roman Abramovich hajawahi kuwa rafiki yake Jose ameyesema hayo akiwa anatarajia kurudi Stamford Bridge kwa mara ya kwanza tangu afukuzwe kazi na Chelsea baada ya muenendo mbovu wa timu,alifukuzwa akaiiacha Chelsea ikiwa nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib