Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaJuventusManchester unitedNemanja maticusajili january

Nemanja Matic mchezaji anayetazamiwa kugombaniwa sana dirisha dogo la Usajili January huku Juventus na Manchester United wakiongoza.


Kiungo mkabaji wa Chelsea anatazamiwa kua mchezaji atayehitajika sana mwezi January wakati wa dirisha dogo la usajili huku Man United na Juventus wakitajwa kama timu zinazo mhitaji zaidi ila itawawia vigumu Chelsea kumruhusu kiungo huyo hasa baada ya kiwango chake kuanza kurudi katika hali nzuri tofauti na msimu uliopita.Kama ataondoka inatazamiwa ataondoka kwa dau lisilopungua paundi milioni 30.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib