Blog ikuleteayo habari mbali mbali kutoka klabu ya Chelsea kwa lugha ya kiswahili.

Climb the mountains

Post Page Advertisement [Top]

ChelseaDiego Costa Contractmkataba mpya

Chelsea wanajiaanda kumpa Diego Costa mkataba mpya.


Klabu ya Chelsea yenye makazi yake jiji London nchini Uingereza wanajianda kumpa mkataba mpya kinara wao wa mabao Diego Costa ambaye amekua kwenye kiwango cha juu msimu huu. Chelsea wamefikia hatua hiyo ikiwa ni moja ya njia ya kuwazidi kete Atletico Madrid ambao wanaangaika kumrudisha mchezaji wao.

No comments:

Post a Comment

Bottom Ad [Post Page]

| Designed by Colorlib